Utaacha Alama Gani Duniani Siku Ukifa?

JE UTAACHA ALAMA GANI SIKU UKIFA?

Utaacha Alama Gani Duniani Siku  Ukifa?

  Lazima ujiulize ya kwamba ni alama gani utaicha chini ya jua kabla hajafa? Kimsingi tunaambiwa na vitabu vya dini ya  kwamba kila binadamu ni mavumbi na atarudi kuwa mavumbi, kauli hiyo inaashiria wazi hakuna atakayeishi milele katika ulimwengu wa mwili labda katika ulimwengu wa roho hii ina maana ya kwamba kila nafsi itaonja umaiti kwa wakati wake. Nisizungumze sana ila maana ibaki pale pale ya kwamba utaacha Alana gani siku ukifa?


SIKILIZA SIMULIZI HII KATIKA YOUTUBE CHANNEL YETU USISAHAU KU SUBSCRIBE

Iklan Atas Artikel

Iklan Tengah Artikel 1

Iklan Tengah Artikel 2

Iklan Bawah Artikel